MPINGO FARMS hawana dogo HAYA UMEANZA na SISI AMBAPO NDIO WKATI SAHIHI WA KUPANDA MICHE YA MITI YA AINA MBALIMBALI. NA LEO MITI YA MATUNDA ndani ya MPINGO FARMS TUMEAMUA KUKULETEA OFA ILE MICHE YA SH 2500/= baada ya 3000/=
WhatsApp 0656653333
0784656861
Miche hii ni ya kisasa huanza kuzaa kuanzia miaka miwili Hadi mitatu imeandaliwa kitaalamu kutoka MPINGO FARMS MOROGORO
AINA YA MICHE INAYOPATIKANA NI
• Maembe aina zote - 2500/=
• (Red India, Alphonso, Bolibo, Dodo, Apple, Tommy na Kent)
• Machungwa -2500/=
• Limao -2500/=
• Parachichi(Hass na fuete local) -2500
• Chenza -2500/=
• Ndimu -2500/=
• Pomelo -3000/=
• Passion -1500/=
• Giant passion -3000/=
• Migomba -2500/=
• Strawberry - 2500/=
• Pera -2500
• Stafeli -2500/=
• Topetope -2500/=
• Fenesi. -2500/=
• Minazi mirefu - 6000/=
• Mizambarau -2500/=
• Papai za kisasa -3000/=
• Komamanga -2500/=
• Tende - 10000/=
• Mizaituni -5000/=
• Zabibu. - 5000/-
• Miti ya Hina - 3000/=
• Korosho -3000/=
• Macadamia -3000/=
• Mikaranga(Guinea nuts)- 3000/=
• Miche ya Apple -10000/=
VIUNGO (SPICES)
• Karafuu - 5000/=
• Mdalasini - 2500/=
• Pilipili manga -2500/=
• Vanila -5000/=
• Iliki -5000/=
• Mint -5000/=
• Rosemary - 5000/=
• Green tea -3000/=
• Mbilimbi - 2500/=
• Mchaichai(lemon grass)- 3000/=
MITI YA MBAO ni sh . 1,000/= ukichukua mingi Kuna punguzo.
Miti yenyewe ni kama vile: -
• Mitiki
• Mikaratusi
• Mijakaranda
• Grivellia (mielezi)
• Mivule
• Sederela
• Mikongo
Miti ya kivuli
• Midodoma 3000
• Mijohoro 3000
• Ashok. 3000
• Mikrismass. 3000
• MIHARADALI- 3000
Unapatikana MOROGORO mjini mkabara na Nashera hotel
Kwa wale wa Morogoro au jirani unaweza ukafika kitaluni kwetu au kama ni Mikoani tunakutumia kwa basi popote ulipo Tanzania bara .Utaratibu ni kwamba utatuma pesa ya idadi ya Miche unayohitaji pamoja na hela ya usafiri alafu tutakuandalia mzigo wako tutakupigia picha mzigo alafu tunakutumia pamoja na tiketi ya Basi ambalo litakuletea , wewe utafika ofisini kwao kuchukua mzigo wako
UKIHITAJI MICHE ZAIDI YA 1000 TUNA OFA YA PUNGUZO MAALUM KWA AJILI YAKO.
Karibuni Sana
Mpingo Farms - Morogoro: Miche ya miti ya matunda, mbao, kivuli na viungo, ikipatikana kwa bei nafuu. Tunatuma mizigo mikoani Tanzania Bara!”
Ikiwa unataka, naweza pia kuunda toleo fupi zaidi linalovutia kwa mitandao ya kijamii.
Location:
No products found for this farm.